Victor Karanja
@victor_karanja
·
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
Reply
Sign in
to join the conversation.
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
chuo yenu ni farthest by the time unafika ni 2nd term!
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
wewe ni mjinga… mpaka ulirepeat kunyonya.
Radio yenu imezoea kisapere mpaka instead ya kusema kiss 100 inasemanga “mumunya igana”
we ni mchoyo hadi unaflash.999.makarao
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
wa iza jooh
Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.