Victor Karanja
@victor_karanja
·
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Reply
Sign in
to join the conversation.
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
We ni mkonda hadi uki dance helicopter una take off…
UKo na macho kubwa hadi wewe huitwa eye witness
wa wa wa wa hio ni kali
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
trick sana
Ati umekonda mpaka we hutumia elastoplast badala ya always
🔥lite
hahaha
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
huyu mseee ana maskio kubwa,akiinuliwa juu!,anabebwa kaa trophy
wewe ni msupa tu sana
hiyo sijui
eti uko so shy hadi gotha yako iko na collar
Origin: kenya.
We ni mzee Hadi ukifanya 180 unahara bluband.
Kali sana
Hiyo ngori ... other plz...