Victor Karanja
@victor_karanja
·
una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy
Reply
Sign in
to join the conversation.
una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy
Weh ni mnono mpaka bed yako ikona zgwembe.
Umeunga mpaka unatoanga ngozi ya miwa ka ndizi
naskia nyi mmesota mpaka munapika chapo side moja
unakichwa bigi hadi ukidream unadream 7 in 1
ASUBUHI ASUBUHI githeri na colgate.
Doggy yenu imebeat hadi iki bark lazima ijishikilie kwa ukuta.
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
msee ni mweusi hadi difference yake na midnight ni 11:59.
We ni mnono hadi ukikunywa novida huwezi get lifted!