Victor Karanja
@victor_karanja
·
Kwenu nyinyi ni wagesi mpaka coackroach zinademonstrate juu ya njaa
Reply
Sign in
to join the conversation.
Kwenu nyinyi ni wagesi mpaka coackroach zinademonstrate juu ya njaa
Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
TV yenu ndogo na nyinyi ni wengi mpaka mkitaka kuiona nyi wote lazima kila mtu afunge macho moja
Budako mugly mbaka anaishia home kutoka zoo na mandizi mob amegeiwa na matourist
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
We mfupi mpaka unatoka kwa basi na parachute