Victor Karanja
@victor_karanja
·
ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..
Reply
Sign in
to join the conversation.
ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..
uko na ngozi tight mpaka ukikunja ngumi macho infunguka.
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
nyumba yenu imetengenezwa na matope.
that is not a mchongoano
wee ni mnono hadi ukikalia novel zinakuwa short stories!
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
We ni mweusi hadi ukipita karibu na plants zinadhani ni Dark Stage photosynthesis
Dame yako amekonda hadi yeye huchungulia kwa key hole na macho zote mbili.
kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi
wewe ni mweusi mpaka wameandika “scratch to reveal” kwa I.D yako