Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
We ni mnono hadi ukikunywa novida huwezi get lifted!
Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
Wewe ni fala unarewind CD na biro pen