Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Wewe ni mrefu mpaka ni wewe huongezea jua makaa