Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo
Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua
Ngozi ya nyanyako ni tight mpaka aki wink, mguu yake inainuka
Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Asubuhi Asubuhi avocado na arufu ya vitungu