Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke
Wewe ni miser mpaka ukiwa kwa KBS back seat ukiitishwa doo unapoint nyuma
We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
Una mkono rough hadi ukishika mouse, computer inadai found new hardware.