Victor Karanja
@victor_karanja
·
Mdomo kubwa kama bakuli ya jela
Reply
Sign in
to join the conversation.
Mdomo kubwa kama bakuli ya jela
We ni mblack mpaka ukisimama karibu na ukuta ya white watu wanafikiria eti ni shortcut wapitie thru hiyo shimo
We mrefu mpaka ukianza kuvaa handa by the time ifike kwa magoti ime rust
Paka yenyu imeona mamovie mpaka ikifuata panya inalia tereng! tereng!
Uko mweusi mpaka kwa night class unashow meno ndio usimakiwe absent
Mathako mnono akikalia kobole Moi hutoa makamasi
Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua
Budako mblack akilala kwa road madere wanafikiri ni speed bump
We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati