Victor Karanja
@victor_karanja
·
Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.
Reply
Sign in
to join the conversation.
Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.
Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.
Origin: Murang'a
Wewe ni mweusi mpaka ukitumia mtu Selfie inajiandika scratch to reveal.
Origin: Nairobi
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣
Origin: Nakuru
Haha
naskia baba yako ni mlafi hadi huwa ana ficha gither kwa warlet
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
umenona hadi ukivaa t-shirt ya green unakaa kibanda ya mpesa
Origin: Nairobi
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack