Victor Karanja
@victor_karanja
·
We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
Reply
Sign in
to join the conversation.
We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu
Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje
Kwenyu kuchafu mpaka mende zenu ni oboho, ati wanaambia wale new wakae ridho kwa kitchen
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch
We mzee na danda mbaka ulikuwa naso na onyato ati na ujamada form four bado
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu