Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
ety ww n mrefu Hadi unagotea mungu
Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate
Umezoea kula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga