We ni mweusi hadi mbu ikitaka kukuuma yo huitisha torch
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Wewe ni mrefu mpaka ni wewe huongezea jua makaa
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
Budako uhepa gumbaru, anaenda kuangalia tractor ikikata manyasi