naskia nyi mmesota mpaka munapika chapo side moja
aty shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Budako uhepa gumbaru, anaenda kuangalia tractor ikikata manyasi
nasikia uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon