Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.
nasikia wewe ni mfupi mpaka wajua pahali shetani anaficha chupi
huyu mseee ana maskio kubwa,akiinuliwa juu!,anabebwa kaa trophy
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.