Kwenu nyi ni ma-miser mpaka price ya colgate ikipanda mnateta na hamna meno
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
msee akona maskio kubwa hadi anashika waves za safaricom
Kwenu muko wadosi mpaka kuku zenu zinafanya aerobics saa kumi na kunywa juice instead ya maji