Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu
First time yako ku-buy ball gum shopkeeper alikugei ya green ukasema 'nataka ile imeiva'
We ni mkonda hadi uki dance helicopter una take off…
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati