NASKIA WEWE NI MZEE MPAKA NUNA MEA KITUNGU KWA MAKWAPA
msee akona maskio kubwa hadi anashika waves za safaricom
wewe ni msupa tu sana
Kwenu muko wadosi mpaka kuku zenu zinafanya aerobics saa kumi na kunywa juice instead ya maji
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa