Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
Uko mweusi mpaka kwa night class unashow meno ndio usimakiwe absent
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Ulimeza cassette ya koffi ukanyamba ndombolo
Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje