Ati wewe ni mzee hadi ukizaliwa “OLD TESTAMENT” ilikuwa inaitwa “TESTAMENT”
Asubuhi Asubuhi kokoto na kumi kumi
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic
una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy