Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
naskia baba yako ni mlafi hadi huwa ana ficha gither kwa warlet