Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma
Nyinyi ni wadosi hadi dogi zenu zina dogi za kuzichunga.
We ni mkonda hadi uki dance helicopter una take off…
Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate