Kwenu mko wengi hata mkienda dining room mnaingia na gate pass
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Una kichwa kubwa mpaka dream zako zushow in dolby surround.
We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu