Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
UKo na macho kubwa hadi wewe huitwa eye witness
ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza