kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
we ni mchoyo hadi unaflash.999.makarao