We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch
First time yako ku-buy ball gum shopkeeper alikugei ya green ukasema 'nataka ile imeiva'
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa