Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Wewe ni mrefu mpaka ni wewe huongezea jua makaa