naskia nyi mmesota mpaka munapika chapo side moja
Una mkono rough hadi ukishika mouse, computer inadai found new hardware.
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva