Buda ako ni mjinga, first time kupanda ndege alisema shukisha junction
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.