Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.
We ni mweusi hadi mbu ikitaka kukuuma yo huitisha torch
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”