nasikia we niweusi hadi una aribia makka fashion
TV yenu ndogo na nyinyi ni wengi mpaka mkitaka kuiona nyi wote lazima kila mtu afunge macho moja
ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
wewe ni msupa tu sana