First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
Breathe yako sumu ukiyawn asubuhi jogoo hudedi
Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
unakichwa bigi hadi ukidream unadream 7 in 1