Wewe ni mrefu mpaka ukivaa trao inaisha fashion kabla ifike kwa waist
Buda ako ni mjinga, first time kupanda ndege alisema shukisha junction
nyumba yenu imetengenezwa na matope.
auna nywele mbaka ukienda Kwa kinyozi una ambiwa boss atu nyoi matako
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂