Victor Karanja
@victor_karanja
·
Banter in Kenyan slang
Asubuhi asubuhi mabuyu na cools
Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo
auna nywele mbaka ukienda Kwa kinyozi una ambiwa boss atu nyoi matako
ukona maskio kubwa Hadi ukizaliwa daktari alikushika kama trophy
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta