We mfupi mpaka unatoka kwa basi na parachute
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
Buda ako ni mjinga, first time kupanda ndege alisema shukisha junction
Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua