Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Ati wewe ni mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
Una mkono rough hadi ukishika mouse, computer inadai found new hardware.
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack