First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
We ni mweusi hadi ukipita karibu na plants zinadhani ni Dark Stage photosynthesis
Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.