First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Manzi yako ame beat hadi badala ya kupelekwa extreem make ova, alipelekwa panel beating!