First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke
Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati
Ati wewe ni mzee hadi ukizaliwa “OLD TESTAMENT” ilikuwa inaitwa “TESTAMENT”
Uko mweusi mpaka kwa night class unashow meno ndio usimakiwe absent