Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.
Budako huhepa job ku-slide na socks
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Wewe ni miser mpaka ukiwa kwa KBS back seat ukiitishwa doo unapoint nyuma
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga