Eunice Adhiambo
@user817
·
how
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Maskio kama mlango ya probox
Wewe ni miser mpaka ukiwa kwa KBS back seat ukiitishwa doo unapoint nyuma