wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Ati siz yako ni mnono mpaka chali yake humshow ‘u r 2 in a million.
Asubuhi asubuhi mabuyu na cools