Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Budako mugly mbaka anaishia home kutoka zoo na mandizi mob amegeiwa na matourist
Ati wewe ni mzee hadi ukizaliwa “OLD TESTAMENT” ilikuwa inaitwa “TESTAMENT”
Kwenyu kuchafu mpaka mende zenu ni oboho, ati wanaambia wale new wakae ridho kwa kitchen