We ni mblack mpaka ukisimama karibu na ukuta ya white watu wanafikiria eti ni shortcut wapitie thru hiyo shimo
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
huyu mseee ana maskio kubwa,akiinuliwa juu!,anabebwa kaa trophy
uko na ngozi tight mpaka ukikunja ngumi macho infunguka.
NASKIA WEWE NI MZEE MPAKA NUNA MEA KITUNGU KWA MAKWAPA