Abdi Kosar
@user1162
·
sasa
Kwenu muko wadosi mpaka kuku zenu zinafanya aerobics saa kumi na kunywa juice instead ya maji
We ni mweusi hadi ukipita karibu na plants zinadhani ni Dark Stage photosynthesis
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
ww n mkonde adi unavaanva socks n belt
ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..