Asubuhi Asubuhi Patco na mapera
nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda
Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.