Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
huyu mseee ana maskio kubwa,akiinuliwa juu!,anabebwa kaa trophy
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
ww n mkonde adi unavaanva socks n belt