we ni mblaki Hadi damu inasaculate kwA mwili yako na torch
We m-ugly, ulipokuwa mtoi masako alikufeed na feya
TV yenu ndogo na nyinyi ni wengi mpaka mkitaka kuiona nyi wote lazima kila mtu afunge macho moja
naskia ukona mdomo kubwa hadi unakula ovacado kama njugu
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂