Lentavis Kinuthia
@user1032
·
chwani
ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Kichwa kama basi ya bed ford ya zamani
ati we ni mkonde Hadi una miss mvua
ww n mkonde adi unavaanva socks n belt